AJALI: Daladala imegonga Train asubuhi hii Morogoro
Habari iliyonifikia asubuhi hii ya August 24, 2017 kutoka Morogoro ni kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya daladala walilokuwa wanasafiria kugonga Train maeneo ya TANESCO.
Betri ni kifaa muhimu sana kwenye Kompyuta ambacho mara nyingi ndicho hutunza umeme wa ziada(backup), na mara zote ili betri iweze kuchaji...
Hakuna maoni: