AJALI: Daladala imegonga Train asubuhi hii Morogoro

Habari iliyonifikia asubuhi hii ya August 24, 2017 kutoka Morogoro ni kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya daladala walilokuwa wanasafiria kugonga Train maeneo ya TANESCO.

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.