Alikiba Ashindwa Kuvumilia Atoa Dongo



Msanii Alikiba ambaye hivi sasa yupo nchini Marekani alipokwenda kwenye Tamasha la 'OneAfrica Music festival' ambalo limefanyika siku ya Jumamosi ameamua kujibu mashambulizi kwa kushusha dongo pia kupitia mtandao wake wa Instgram.


Alikiba amefanya hivi siku moja baada ya hasimu wake katika muziki wa bongo kusikika katika moja ya wimbo ambao mashabiki wanahusisha baadhi ya mistari ya msanii huyo kwenda kwa Alikiba, ndipo hapo inasemekana Alikiba ameamua kujibu kwa kusema mfalme atabaki kuwa mfalme siku zote huku ikidaiwa akimfananisha hasimu wake na malkia wake. 

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.