Alikiba Ashindwa Kuvumilia Atoa Dongo
Alikiba amefanya hivi siku moja baada ya hasimu wake katika muziki wa bongo kusikika katika moja ya wimbo ambao mashabiki wanahusisha baadhi ya mistari ya msanii huyo kwenda kwa Alikiba, ndipo hapo inasemekana Alikiba ameamua kujibu kwa kusema mfalme atabaki kuwa mfalme siku zote huku ikidaiwa akimfananisha hasimu wake na malkia wake.
Hakuna maoni: